Baadhi ya Magari ya kusafirishia Mahabusu kutoka Gerezani kupelekwa mahakamani yaliyozinduliwa leo Mkoani Pwani ambapo yamezinduliwa Magari kumi mkoani humo. |
Naibu waziri Silima akikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari hayo |
Naibu waziri Perera Ame Silima ambaye ni Naibu waziri wa Mambo ya Ndani akijaribu kuendesha Moja ya Basi litkalotumika kusafirishia Abiria |
No comments:
Post a Comment