Meneja wa Kutengeneza Ofa za Intaneti za Kampuni ya Tigo, David Sekwao
(kushoto) akibofya kwenye kompyuta kupata mmoja wa washindi 42 wa droo
ya pili ya Smartcard, Dar es Salaam. Anayeshuhudia kulia ni Mkaguzi
Mwandamizi wa Bodi ya Taifa ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha nchini,
Abdallah Hemed. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA) |
No comments:
Post a Comment