TRENI ZA KUFANYA SAFARI ZA DAR ES SALAAM MJINI ZIMEJARIBIWA LEO
Baadhi ya Abiria wakiwa katika moja ya behewa ndani ya Treni hiyo ambayo ina mabehewa sita yenye uwezo wa kubeba abiria 900, Treni hiyo itakuwa inafanya safari zake kutokea Ubungo mpaka Stesheni Poster
Hii ndiyo Treni yenyewe
Naibu waziri wa Uchukuzi akiwa kwenye Treni hiyo wakati wa Majaribio