Balozi wa China nchini Tanzania Bw, Lu You Qing (kushoto)
akisalimiana na Naibu Waziri mkuu wa China
Hai Liang Yu, mara baada ya kuwasili katika makao makuu ya Reli ya
Tazara leo hasubui.
Leo naibu waziri mkuu wa China Bw, Hai Liang Yu,
ametembelea Reli TAZARA ambapo amesema
kuwa watahakikisha TAZARA inaboreshwa na kurudia katika hali yake ya zamani
kama walivyoiacha kipindi cha nyuma.Ujio wake pia TAZARA utarekebisha mashine
za kutengeneza magari zilizopo Katika Reli ya TAZARA na pia kuhakikisha kuwa
Reli ya TAZARA inafanya vizuri katika Safari zake.
|