Huyu anaonyesha Maganda ya Risasi yaliyokuwa yanatumika wakati wanafukuzwa katika maeneo hayo |
Baada ya kuchomewa nyumba yake dada huyu analala hapa yeye pamoja na watoto wake wawili ni nje ya shule mpya inayojengwa huko madale |
Naye huyu yupo kwake anapika |
Hapa pia ni kambi ya mtu mwingine na familia yake |
Huyu ndo mwenye nyumba hii ana watoto wawili na mke na wote wanaishi humu ndani |
Hii ndiyo shule |
Wakazi hao wanaiomba serikali iwape makazi ya kuishi kwani wanateseka kukaa bila makazi hivi sasa. |